• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Miradi Inayoendelea

      1. Mradi wa maboresho ya Maji Busisi

Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Maji Busisi unatekelezwa na mkandarasi STC Co. Ltd wa Dar es Salaam, lengo a mradi ni kutoa huduma kwa wakazi wapatao 3,500 katika maeneo ya Busisi, Mkomba na maene ya jirani.

    Hali ya mradi mpaka sasa

  • Ujenzi wa vituo sita (6) vya kuchotea maji, 3 vimekwisha kamilika.
  • Ulazaji wa bomba kwenda kwenye tanki maji.
  • Uboreshaji na ukarabati wa tanki la maji Busisi
  • Ujenzi mpya wa nyumba ya Pampu unaendelea.
  • Ufungaji wa pambu na uwekaji wa umeme unaendelea
  • Ujenzi wa tanki la chini la kuhifadhia maji unaendelea.(sub tank)


      2. Mradi wa Maji Chamabanda, Nyantakubwa na Kasungamile

Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Maji katika Kijiji cha Chamabanda, Nyantakubwa na Kasungamile unatekelezwa na mkandarasi Yell.Ltd wa Dar es Salaam, lengo a mradi ni kutoa huduma kwa wakazi wapatao 1,000 katika viijiji vya Chamabanda, Nyantakubwa na Kasungamile.

Hali ya mradi mpaka sasa

  • Mradi upo kwenye hatua ya majaribio.


          3. Mradi wa Maji Buyagu-Kalangalala-Bitoto

Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Maji katika Kijiji cha Buyagu, Kalangalala - Bitoto ukitekelezwa na mkandarasi D4N Co. Ltd wa Kahama, lengo a mradi ni kutoa huduma kwa wakazi wapatao 7,750 katika viijiji vya Buyagu, Kalangalala na Bitoto

         Kazi zilizofanyika hadi sasa

  • Ujenzi wa chanzo cha maji (Nyumba ya Mitambo , Sump tank)
  • Uchimbaji wa mitaro na ulazaji wa bomba kuu la kusafirisha maji (raising main) - meta 5,370
  • Uchimbaji wa mitaro na ulazaji wa bomba za kusambaza maji za ukubwa tofauti - meta 11,323
  • Ujenzi wa tanki la kuhifadhi maji lenye ujazo wa lita 90,000 (Buyagu), Ujenzi wa tenki lita 180,000 (Kalangalala ), Ujenzi wa tenki lita 90,000 (Bitoto)
  • Ujenzi wa vituo vya kuchotea maji 15 katika maeneo ya Buyagu
  • Umeme ukwekwisha kufungwa katika chanzo cha maji (Pampu House)
  • Ulazaji wa bomba kwenda katika tanki la Kalangalala umekamilika.
  • Ujenzi wa vituo vya kuchotea maji 15 katika maeneo ya Kalangalala Bitoto

Mkandarasi kwa sasa anaendelea na kazi ya ununuzi wa pampu ya kusukuma maji,ukamilishaji wa chanzo cha maji,uunganishaji wa vituo vya kuchotea maji pamoja na uwekaji wa umeme kwa ajili ya kuendeshea mtambo

Hali ya Mradi wa Maji.pdf

Matangazo ya Kawaida

  • Majina ya wanafunzi wa Darasa la saba waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2020 December 07, 2019
  • Mipaka na Majina ya Mitaa iliyoko katika Eneo la Halmashauri ya wilaya ya Sengerema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 September 13, 2019
  • Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura July 24, 2019
  • Majibu ya Usaili wa Uboreshaji wa Daftari la mpiga kura August 06, 2019
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mongella alidhishwa na utekelezaji Miradi ya Maendeleo Sengerema

    October 14, 2019
  • Katibu Mkuu Utumishi Dr. Ndumbalu amewataka watumishi wa Umma kuzingatia taratibu na sheria za utumishi katika utekelezaji wa majukumu yao

    September 16, 2019
  • TPB Bank yasaidia ukarababti wa majengo ya Shule ya Msingi Busisi

    August 23, 2019
  • Majengo ya shule ya Sengerema Sekondari yazinduliwa rasmi

    July 24, 2019
  • Ona vyote

Video

Mhe. Mnwanizi aliyekuwa Diwani kupitia CHADEMA Sengerema ahamia CCM
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0754650558

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz or dedsengerema@ymail.com

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Hakimiliki@2018. Halmashauri ya Sengerema. Haki zote zimehifadhiwa