• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mifugo na Uvuvi

Muundo wa Idara:

Idara ya Mifugo na Uvuvi inaundwa na Sehemu kuu mbili ambazo ni:

  • Mifugo na
  • Uvuvi

Majukumu ya Idara:

Jukumu kuu la Idara ni pamoja na usimamizi wa shughuli zote zinazohusu sekta ya Mifugo na Uvuvi katika Halmashauri ya Sengerema kwa kushirikiana na Serikali Kuu na Wadau mbalimbali katika sekta. Baadhi ya shughuli hizo ni pamoja na:-

1 Kusimamia shughuli za udhibiti wa magonjwa ya mlipuko ya mifugo ikiwa ni pamoja na kampeni za chanjo.

2. Kusimamia ubora na usalama wa mazao yatokanayo na mifugo na uvuvi

3. Kuratibu na kusimamia sheria mbali mbali za mifugo na uvuvi

4. Kuratibu na kusimamia shughuli zote zinazohusiana na maandalizi na ushiriki wa mikutano ya Kitaifa na Kimataifa pamoja na sherehe mbalimbali za mifugo na uvuvi

5. Kusimamia na kuratibu shughuli zinazofanyika katika umiliki wa Halmashauri kama majengo ya Halmashauri yaliyopo chini ya Idara ya Mifugo na Uvuvi kama vile; machinjio

6. Kusimamia mapato yatokanayo na ushuru wa Mifugo, samaki na mazao yake.

7. Kusimamia na kuratibu shughuli zote za kiutawala na utumishi wa wataalam wa mifugo na uvuvi.

8. Kuratibu na Kusimamia ukusanyaji wa ushuru, tozo, ada, na leseni zinazohusiana na sekta ya mifugo na uvuvi.

 A: KITENGO CHA MIFUGO

Halmashauri ina mifugo mbalimbali kama ifuatavyo:- ng’ombe, mbuzi, Kondoo, Nguruwe, Kuku na Punda.

1.Majukumu ya kitengo cha Mifugo

2.Kusimamia sera, sheria na kanuni za mifugo

3. Kusimamia na kudhibiti utoaji wa huduma za ugani

4. Kukusanya na kutunza takwimu mbalimbali za Mifugo(idadi ya mifugo, uzalishaji, magonjwa ya mifugo na huduma nyinginezo)

5. Kuratibu na kusiamaia ubora na usalama wa mazao ya Mifugo kwa usalama wa jamii

6. Kutoa ushauri juu ya njia sahihi za kuzuia magonjwa ya Mifugo (tiba, kinga/chanjo na uogeshaji)

7. Kusimamia utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya maendeleo ya mifugo (Majosho, Minada, Malambo na Machinjio)

8. Kuratibu na kusimamia shughuli za usafirishaji wa mifugo na mazao yake

9. Kusimamia usambazaji wa pembejeo za mifugo na kuwezesha sekta binafsi kutoa huduma za mifugo

10. Kufanya ukaguzi wa nyama na kutoa elimu ya uchunaji bora wa ngozi

11. Kushirikiana na taasisi mbalimbali za utafiti katika sekta ya Mifugo

12. Kutoa elimu juu ya uzalishaji, utunzaki na uendelezaji wa nyanda za malisho.

MAENEO YA UWEKEZAJI

1.Uchakataji wa mazao ya mifugo kama vile Maziwa, ngozi na nyama

2.Ujenzi wa machinjio ya kisasa

3.Ujenzi wa miundombinu ya masoko ya mifugo( mnada)

4.Uzalishaji wa mbuzi na mitamba ya kisasa kwa ajili ya uzalishaji wa maziwa

MAGONJWA YA MIFUGO

Baadhi Magonjwa yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu (Zoonotic diseases)

1. Kimeta

2. Kifua kikuu

3. Typhoid

4. Colibacillosis

5. Kichaa cha mbwa

6. Leptospirosis

7. Brucellosis

BAADHI YA MAGONJWA YA NG'OMBE

1.Ndigana kali

2.Ndigana baridi

3.Chambavu

4.Kimeta

5.Ndorobo

6.Homa ya mapafu.

7.Midomo na miguu

8.Ugonjwa wa kiwele

9.Maji moyo

10.Minyoo

11.Ugonjwa wa ngozi( Lumpy Skin)

12.Ugonjwa wa kutupa mimba(brucellosis)

Baadhi ya magonjwa ya mbuzi na Kondoo

1. Maji moyo

2. Homa ya mapafu

3. Sotoka ya Mbuzi na kondoo

4. Minyoo

Baadhi ya Magonjwa ya jamii ya ndege

1. Mdondo (Newcastle disease)

2.Koksidiosisi

3. Koryza (mafua)

4. Ndui

5. Minyoo

6. Typhoid

7. Colibacillosis

Magonjwa sumbufu na hatari kwa mbwa

1. Kichaa cha Mbwa

2. Leptospirosis

3. Kuhara damu (canine parvovirus infection)

4. Canine Distemper

5. Canine hepatitis

Magonjwa yanayozuilika kwa kutoa chanjo ni:-

Kimeta na chambavu kwa ng`ombe, mbuzi na kondoo

1. Ndigana kali - ng`ombe

2. Homa ya mapafu kwa Ng`ombe na Mbuzi

3. Lumpy skin- Ng`ombe

4. PPR – mbuzi

5. Kutupa mimba (Brucellosis)-Ng`ombe

6. FMD- Ng`ombe

7. Kichaa cha mbwa – mbwa na paka

8. Distemper, Hepatitis, Leptospirosis na Parvovirus(DHLP)-Mbwa

9. Newcastle disease – jamii ya ndege

10. Gumboro

11. Ndui

12. Typhoid

13. Mareck`s disease

Namna ya kupata na kutumia chanjo

Chanjo zinapatikana kwenye maduka/vituo vya kuuzia pembejeo za Mifugo. Pia unaweza kuwasiliana na Wataalam wa mMifugo kwa elimu na msaada zaidi.

KITENGO CHA UVUVI

MAJUKUMU YA KITENGO CHA UVUVI.

1. Kutekeleza Sera ya Uvuvi.

2 .Kusimamia uhifadhi wa samaki na viumbe wengine wa majini na mazingira yao.

3 .Kuratibu na kusimamia uhifadhiwa samaki na viumbe wengine wa baharini.

4. Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu uvuvi bora wa samaki na mazao ya uvuvi,Biashara na Masoko ya samaki pamoja na Ufugaji samaki na viumbe wengine wa majini.

5. Kutoa leseni za uvuvi

6. Kuendesha mafunzo ya taaluma ya uvuvi.

7 .Kusimamia na kutekeleza Sheria za Uvuvi.

8. Kusimamia ukusanyaji wa Takwimu na maduhuli.

9. Kuratibu shughuli za utafiti wa uvuvi.

10.Kutoa ushauri juu ya uendelezaji wa matumizi ya rasilimali za uvuvi.

11.Kukagua ubora wa samaki na mazao ya uvuvi na kuweka viwango vya Kitaifa

MAENEO YA UWEKEZAJI YALIYOPO NA YANAYOHITAJI UWEKEZAJI

1.Ufugaji wa samaki katika mabwawa (uliopo).

2.Kiwanda cha uchakataji samaki (unaohitajika)

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA DEREVA II NA MTUNZA KUMBUKUMBU II November 11, 2022
  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili wa Kazi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji Daraja III, Katibu Muhtasi Daraja III na Dereva Daraja II July 05, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • WANANCHI SENGEREMA WATAKAKIWA KUTHAMINI MIRADI YA YA MAENDELEO

    March 24, 2023
  • SENGEREMA KUNUFAIKA NA SHULE MBILI MPYA KUPITIA SEQUIP NA BOOST

    March 22, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI SENGEREMA LAKOSHWA NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    March 15, 2023
  • DC SENGEREMA AKEMEA MMOMONYOKO WA MAADILI

    March 08, 2023
  • Ona vyote

Video

RC ATOA SIKU NNE WAZAZI KUPELEKA WATOTO KIDATO CHA KWANZA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.