• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Sengerema yaboresha miundo mbinu ya Kilimo

Posted on: November 26th, 2018

Halmashauri  ya  Sengerema   mkoani  Mwanza  imefanikiwa  kufufua  huduma   ya josho la kuogesha mifugo   katika kata ya Kagunga lililopo  katika kijiji cha Lwenge   baada ya  kukwama  kutoa huduma hiyo kwa muda wa miaka 4 kutokana na   miundombinu ya josho hilo kuharibika . 

Akitangaza   kufufua huduma  hiyo  kaimu mkuu wa idara ya mifugo na uvuvi wa halmashauri ya Sengerema  Bwn.  Malissa  Ndugha  amesema kuwa wamerejesha huduma hiyo baada ya  serikali na wadau wengine wa maendeleo  kukarabati miundombinu  ya josho hilo na kuwataka viongozi wa serikali ya kijiji cha Lwenge kutoligeuza josho hilo  kuwa sehemu ya mtaji wao.

Naye mratibu wa  shirika la DALBERG  linalojihusisha na masuala  ya  kilimo  na mifugo  katika halmashauri za na Sengerema Bwn. Samson Erasto Misambo   akitoa  taarifa  fupi  ya  gharama  za ukarabati wa josho hilo  amesema  shirika hilo limefadhili zaidi ya milioni moja  kwa ajili ya ukarabati na wananchi wa eneo hilo wamechangia nguvu zao kwa kusomba mchanga pamoja na kokoto.

Kwa upande wao   viongozi  wa  serikali ya kijiji cha Lwenge    na  baadhi ya wafugaji wa eneo hilo wameishukru serikali kwa kurejesha huduma hiyo  kwani itawasaidia kuogesha mifugo yao na kuwakinga dhidi ya wadudu wanaoshambulia mifugo yao huku wakiahidi kuimarisha ulinzi katika josho hilo.

Aidha Josho   hilo  tayari   limeanza  kutoa huduma  ya kuogesha mifugo   katika  vijiji vya  Lwenge , Nyanchenche , Nyanzumla  na  kagunga .

Matangazo ya Kawaida

  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili wa Kazi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji Daraja III, Katibu Muhtasi Daraja III na Dereva Daraja II July 05, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Sengerema May 25, 2022
  • Mwananchi zitambue sitahiki zako kupitia mwongozo wa huduma kwa wateja ndani ya Halmashauri yako December 28, 2017
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa akiri ubora wa Miradi ya Maendeleo Sengerema

    July 19, 2022
  • Sengerema kuondokana na kadhia ya Umeme ifikapo Octoba 2022

    July 14, 2022
  • Mkuu wa Wilaya ya Sengerema azindua rasmi ujenzi wa Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Buzilasoga

    June 04, 2022
  • Umoja wa wanawake wasomi katika Halmashauri ya Sengerema watoa msaada wa tauro za kike kwa wanafuzi wanaoshi katika mazingira magumu

    June 02, 2022
  • Ona vyote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.