• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii Ndg. Charles Kiula akitoa msisitizo kwa walengwa wa mpango juu ya kujiunga na vikundi miongoni mwao alipotembelea zoezi la uhawilishaji fedha katika kijiji cha Mayuya kata ya Tabaruka wilayani Sengerema

Posted on: April 4th, 2017

Walengwa wanaonufaika na mpango wa TASAF kunusuru kaya masikini awamu ya tatu wametakiwa kuunda vikundi vya ujasiliamali ili kujikwamua na umasikini ili hata mpango huo utapomalizika wawe na uwezo wa kujitegemea na kuendeleza maisha yao ya kila siku.

Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii wilaya ya Sengerema Ndg. Charles Kiula alipokuwa katika kijiji cha Mayuya kata ya Tabaruka, alipotembelea kujionea shughuli za uhawilishaji fedha kwa walengwa wanaonufaika na mpango.

Amesema kuwa TASAF imewahimiza walengwa kuunda vikundi vya ujasiliamali ili waweze kujitegemea na vikundi hivyo vitaundwa kila eneo waliopo walengwa na vikundi vinavyotakiwa kuundwa ni pamoja; ufugaji wa kuku, bustani za mbogamboga na ufugaji wa mbuzi lengo ikiwa ni kuwajengea uwezo wa kujitegemea bila kusubili msaada.

Ndg. Kiula amesema kuwa katika maeneo mbalimbali vikundi hivyo vimeanza kuundwa na wataalamu kutoka katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wilaya ya Sengerema wataanza zoezi la kutoa elimu ya mafunzo ya ujasiliamali kwa walengwa, kuanzia wiki ijayo na amewataka walengwa hao kujitokeza kwa wingi katika mafunzo hayo ili wapate elimu hiyo.

Frola Medadi ni mlengwa katika mpango wa kunusuru kaya masikini katika Kijiji cha Mayuya Kata ya Tabaruka Wilayani Sengerema ana familia ya watoto saba na mme wake wanapokea shilingi 36,000 lakini wameweza kujikwamua na umaskini kutokana na fedha hizo kwa kujenga nyumba moja ya bati ya vyumba vitatu na kuanzisha ufugaji wa kuku.  Pia wametumia nafasi hiyo kutoa pongeza kwa serikali juu ya mpango wake huu wa kunusuru kaya masikini kwani kwaoumekuwa mkombozi mkubwa na jamii nzima kwa ujumla kwani hali ya utegemezi imepungua sana.

Huku Ndg. Edwin Itamba ambaye ni kaimu Afisa Elimu Shule za msingi wilayani Sengerema amewataka walengwa wanaopata fedha kwa ajiri ya kusomesha watoto wazitumie kama zilivyokusudiwa ili watoto hao wapate elimu iliyobora kwa maisha yao ya baadaye.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.