• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Makampuni ya Simu yatakiwa kutoa Huduma za Kijamii katika Maeneo wanayowekeza Miundombinu ya Mawasiliano

Posted on: March 16th, 2022

Kamati ya Bunge ya miundombinu imezitaka Kampuni za Mitandao ya Simu nchini  kuhakikisha kuwa pale wanapojenga Minara ya Mawasiliono kuhakikisha wananchi wa maeneo hayo wanapata huduma za kijamii, kwani makampuni hayo yanafanya biashara.


Serikali imetoa Sh5.4bilioni kwa ajili ya kusambaza huduma za mawasiliano Mkoa Mwanza Ili kuisadia jamii kupata masiliano ya uhakika kupitia mitandao ya simu.


Kauli hiyo imetolewa katika ziara ya kamati ya Bunge ya Miundombinu ilipokuwa ilipotembelea mnara wa simu uliojengwa na ubia kati ya Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) Vodacom uliopo Kijiji cha Nyampande kata ya Nyampande Wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza.


Justina Mashamba ambaye ni mkurugenzi Mfuko wa Mawasiliano kwa wote amesema kuwa mnnara wa simu wa Vodacom uliojengwa  Kijiji cha Nyampande  utasaidia wakazi 6000 wa Kijiji hicho kupata mawasiliano ya uhakika huku kati yao 2500 wakipata huduma ya intanert.


" Kwa Mkoa wa Mwanza pekee kuna minara 40 ya mwasiliano inatekelezwa kati ya  hiyo 18 imekamilika na 22 Iko katika hatua mbalimbali za kukamilika " amesema ,Mashamba.


Kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya miundombinu Selemani Kakoso ameitaka Serikali itahakikisha inapeleka mawasiliano kwa jamii ya vijijini ambayo inauhitaji mkubwa wa mawasiliano Ili kuwasaidia.


Diwani wa Kata ya Nyampande George Kazungu ameishukuru Serikali kwa niaba ya wananchi wa Kata hiyo huku akisema kujengwa kwa mnara wa simu  wanaishukuru Serikali kwa kujenga mnara umewaondolea adha ya kupata mawasiliano.


Nape Nauye ni Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya habari amewataka Wananchi kutunza miundombinu ya mawasilioni ili iweze kudumu na kuisaidia jamii  kupata mawasiliano ya uhakika.


Amesema wao kama Serikali wataendelea kuboresha miundombinu ya mawasilioni ili kuwafikia wananchi wote hapa nchini

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA DEREVA II NA MTUNZA KUMBUKUMBU II November 11, 2022
  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili wa Kazi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji Daraja III, Katibu Muhtasi Daraja III na Dereva Daraja II July 05, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • JAMII YAASWA KUTIMIZA WAJIBU KUKABILIANA NA MMOMOMONYOKO WA MAADILI

    May 15, 2023
  • BOOST YAANZA KWA KISHINDO SENGEREMA

    May 13, 2023
  • KAMATI YA FEDHA YAKAGUA MIRADI

    May 04, 2023
  • SENGEREMA KUNUFAIKA NA BARABARA YA LAMI NA KIVUKO KIPYA

    April 23, 2023
  • Ona vyote

Video

RC ATOA SIKU NNE WAZAZI KUPELEKA WATOTO KIDATO CHA KWANZA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.