• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MIZUNGUKO YA WAVUVI CHANZO CHA MAAMBUKIZI VVU

Posted on: September 1st, 2023

Imefahamika kuwa moja ya sababu ya ongezeko la maambukizi mapya ya VVU katika maeneo ya kambi za wavuvi ni pamoja na wavuvi kuhama mara kwa mara katika shughuli zao za kujitaftia kipato.


Hayo yameelezwa hivi karibuni na watafiti kutoka shirika la utafiti la MITU lililopo jijini Mwanza wakati wakiwasilisha mrejesho wa matokeo ya utafiti wa Mifumo ya Mizunguzuko na wezekano wa kuwafuatilia Wanawake waliopo katika hatari kubwa ya kupata maambukizi ya UKIMWI katika jamiii za wavuvi za ziwa Viktoria.


Mtafiti kutoka Shirika la MITU Dkt. Elialilia Okero amesema utafiti huo umefanyika katika mialo ya Igombe na Kijiweni iliyopo Manispaa ya Ilemela, Kijiweni na Itabagumba iliyopo Wilaya ya Sengerema ambapo amesema kuwa, jamii zinazoishi kandokando mwa ziwa Viktoria zina viwango vya juu vya maambukizi ya VVU hususan wanawake wanaofanya kazi katika hoteli, baa na sehemu za burudani.


Akiwasilisha mrejesho wa utafiti huo, Mtafiti kutoka shirika hilo Bi.Onike Mcharo amesema lengo kuu la Utafiti huo ilkuwa ni kufahamu mizunguko miongoni mwa wanawake wanaoishi na kufanya kazi katika jamii za wavuvi na kutathmini kukubalika na uwezekano wa kuwafuatilia katika mipango ya kuzuia na utioaji wa huduma za VVU kwa siku zijazo.


Amesema katika Utafiti huo wamebaini kuwa wanawake wenye umri mdogo (15-24) wana mizunguko mingi na mirefu ukilinganisha na wale wenye umri mkubwa.


Bi. Mcharo ameongeza kusema kufahamu namna ya mitandao inavyoathiri mizunguko ya wanawake na hatari za VVU inaweza kusaidia katika kutengeneza afua za kuzuia VVU ambazo zimeundwa kukidhi mahitaji ya watu wanaofanya mizunguko kwenye jamii za wavuvi zilizopo kwenye ziwa Viktoria.



Mrejesho wa Utafiti huo uliwashirika baadhi ya wataalamu na viongozi wa wananchi, watendaji kutoka Halmashauri za Wilaya ya Sengerema na Buchosa

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 28, 2023
  • TANGAZO KWA WAMILIKI WA MAENEO ENEO LA STENDI MPYA SENGEREMA July 27, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI SENGEREMA KUPATIWA DAWA ZA KINGA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO

    November 20, 2023
  • RC MAKALLA AMALIZA MGOGORO WA ENEO LA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI NYAMPULUKANO- SENGEREMA

    November 09, 2023
  • RC MAKALLA AWASHANGAZA WANANCHI SENGEREMA ASILIKILIZA KERO KUANZIA ASUBUHI MPAKA USIKU

    November 09, 2023
  • RC MAKALA AWATAKA WATENDAJI WA KATA SENGEREMA KUTATUA KERO ZA WANANCHI KWA WAKATI

    November 15, 2023
  • Ona vyote

Video

MAPOKEZI YA MHE. BITEKO SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.