• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Sengerema akabidhi zawadi kwa mwanafunzi aliyeingia kumi bora Kitaifa toka Sengerema

Posted on: May 30th, 2017

Ndg. Magesa Mafuru amemkabidhi zawadi Rosemary Benjamini aliyekuwa anasoma katika shule ya Sekondari Kilabela iliyopo kata ya Nyatukala katika Halimashauri ya Sengerema mkoani Mwanza, baada ya kuingia kumi bora kwa wasichana katika matokeo ya kidato cha nne mwaka 2014 kwa kufanya vizuri kitaifa katika somo la Fizikia kwa kupata alama [A] katika somo la Fizikia.

Akitoa zawadi hiyo ya simu aina ya Huwawei (Tablet) iliyotolewa na Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi kwa lengo la kumtia moyo, Amesema kuwa mwanafunzi huyu ameitoa kimasomaso Halimashauri ya Sengerema , na wilaya kwa ujumla kwa kuingia kumi bora katika somo la sayansi hivyo ni jambo la kujisifia na kuwataka wasichana wakaze uzi katika swala zima la kusoma ili kundesha maisha yao ya baadaye.

Magesa amemwelezea mwanafunzi huyo kuwa ni mfano wa kuigwa hivyo anamtaka akazane na kujiwekea malengo ya kufauru vizuri katika safariyake ya masomo hadi atakapo hitimu masomo yake ya elimu ya juu.

Kwa upande wake Rosemary Benjamini amesema kuwa siri ya mafaniko yake ni kujituma katika masomo kwa kujisomea mara kwa mara na kujipangia ratiba yake vizuri ya kila siku na kujiepusha na vishawishi visivyo vya lazima hivyo amewataka wasichana wenzake wajitahidi katika masomo ili waweze kufaulu katika masomo yao, huku akisema baada ya kumaliza masomo yake lengo lake ni kuwa Daktari wa binadamu.

Nae Makamu Mkuu wa shule ya Sekondary Kalabela Winstoni Kalugura ambaye alikuwa ni mwalimu wake wa somo la Fizikia amesema mwanafunzi huyo anastahili kupata zawadi hiyo kwa kuwa alikuwa anajituma katika masomo yake na alionyesha juhudi hizo akiwa tangu kidato cha kwanza.

Amabapo Kaimu afisa Elimu Sekondary Halimsahauri ya Sengerema Ndg. Aman Tangolo amesema kuwa wanafunzi wanapaswa kuwa na juhudi katika masomo ili kupata ufauru katika masomo yao na siri ya mafanikio ni kuwa na juhudi katika masomo.

Matangazo ya Kawaida

  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili wa Kazi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji Daraja III, Katibu Muhtasi Daraja III na Dereva Daraja II July 05, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Sengerema May 25, 2022
  • Mwananchi zitambue sitahiki zako kupitia mwongozo wa huduma kwa wateja ndani ya Halmashauri yako December 28, 2017
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa akiri ubora wa Miradi ya Maendeleo Sengerema

    July 19, 2022
  • Sengerema kuondokana na kadhia ya Umeme ifikapo Octoba 2022

    July 14, 2022
  • Mkuu wa Wilaya ya Sengerema azindua rasmi ujenzi wa Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Buzilasoga

    June 04, 2022
  • Umoja wa wanawake wasomi katika Halmashauri ya Sengerema watoa msaada wa tauro za kike kwa wanafuzi wanaoshi katika mazingira magumu

    June 02, 2022
  • Ona vyote

Video

Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.